Natafuta mchumba.......

man hb

Member
Joined
Feb 22, 2013
Posts
11
Reaction score
0
Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 22,nipo chuo kikuu cha Dar es salaam,natafuta mchumba wa kumuoa baada ya kumaliza chuo.SIFA:1.AWE MWEUPE KIASI,MREFU KIASI NA MWENYE MAADILI.2.ELIMU KUANZIA KIDATO CHA NNE
NB:AWE NA KAZI YEYOTE INAYOMUINGIZIA KIPATO Piga namba(0684059572)
 
wewe utakua domo zege mbaya, mona hapo UDSM kuna watoto wakali tu, fanya bidii kupata hapo hapo, watu hua wanapata wake vyuoni na mashuleni na si mitandaoni, ama kweli JF imevamiwa, kasome kwanza ndio uwaze wachumba maana hilo boom lako la laki saba unalokaa malo kwa miezi 4 chuo, huyo mchumba atalipiga kwa wiki moja halafu unabaki unalia..fanya mambo ya maana kwaza yaonekane wachumba watakuja wenyewe..
 
soma kwanza hayo mambo yatakuja baadae mkuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…