MI mimi ni mvulana(21) bado nasoma . natafuta msicha awe na umri 17-21mrefu awe na rangi yoyote nimeamua kwa sababu nimechoka kupenda nisipopendwa na hisi huyu ajae atanipenda pia tutapendana 🙂
MI mimi ni mvulana(21) bado nasoma . natafuta msicha awe na umri 17-21mrefu awe na rangi yoyote nimeamua kwa sababu nimechoka kupenda nisipopendwa na hisi huyu ajae atanipenda pia tutapendana 🙂
Dah! ndugu yangu mchumba ushapata
huku kitaani kwetu kuna mdada ana kila sifa ulizozitaja.
ila yeye ana sifa 1 ya nyongeza amewahi toa ujauzito mara 4 hivi
nafikiri huyo atakufaa eeh baba!