jamani na mimi pia nahitaji mchumba umri
wangu miaka 27 elimu kidato cha sita, kazi
mjasiriamali, kimo mimi ni mfupi,rangi mimi ni
mweusi, mchumba nahtaji kuanzia miaka 18
hadi 25 ani pm ntampa namba zangu
wa kuoa au kuolewa????
wenzio wachumba wanatafuta kuleeeeeeee
kuna watu standby wanasubiri post kama hii
hapa tutakuzingua tu
wenzio wachumba wanatafuta kuleeeeeeee
kuna watu standby wanasubiri post kama hii
hapa tutakuzingua tu
Nipo hapa.
Kwa sasa niko Australia.
Nicheki kwa +911 au +922
Nipigie muda wote.
Narudi mwezi wa 5.
Umesha mkagua kwanza? ?maana najua hupendi vibamia!!!!!!!!!!!!!
Hahaha hiyo kaliwenzio wachumba wanatafuta kuleeeeeeee
kuna watu standby wanasubiri post kama hii
hapa tutakuzingua tu
jamani na mimi pia nahitaji mchumba umri
wangu miaka 27 elimu kidato cha sita, kazi
mjasiriamali, kimo mimi ni mfupi,rangi mimi ni
mweusi, mchumba nahtaji kuanzia miaka 18
hadi 25 ani pm ntampa namba zangu
Acha ushakunaku.
Lea mtoto uliyebambikiwa huko.