Natafuta Mchumba

Bangili

New Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
4
Reaction score
1
Habari wana JF

Mimi ni mwanamke, natafuta mchumba. Awe na miaka kuanzia 36 na kuendelea. Dini awe mkristu na mcha Mungu, Awe hajawahi kuoa wala asiwe na watoto. Elimu chuo kikuu. Awe serious na swala la kuanzisha familia. Awe tayari kupima ukimwi.

Aliye serious na anayetafuta mwenza naomba aniandikie kwenye email:
silviafrank@rocketmail.com
 
Du, pole. Muda wote huo ulikuwa wapi mpaka wadogo yako wameolewa? We kubali kuwa hivyo maana uliwakataa waliotaka kukuoa ukidhani utakuwa mrembo milele. Sasa ndo unajutaaaa na mamiaka yanazidi kusonga. Waache wadogo zako waolewe bana, we muda wako umekwisha.
 
Njoo nikuzalishe tu,ushazeeka hakuna wa kukuoa tena,jizalie mwana upate faraja ya maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…