Mimi ni mwanamke, natafuta mchumba. Awe na miaka kuanzia 36 na kuendelea. Dini awe mkristu na mcha Mungu, Awe hajawahi kuoa wala asiwe na watoto. Elimu chuo kikuu. Awe serious na swala la kuanzisha familia. Awe tayari kupima ukimwi.
Miaka 36 awe kakusubili wewe?. eti elimu chuo kikuu siuende ukaolewe na ma P/fesa, naona kila anae kuja anakalili kwa anae toka. nimechoka na upuuzi wenu kunasiku nitawatukana.
Miaka 36 awe kakusubili wewe?. eti elimu chuo kikuu siuende ukaolewe na ma P/fesa, naona kila anae kuja anakalili kwa anae toka. nimechoka na upuuzi wenu kunasiku nitawatukana.