Natafuta mchumba

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
natafuta mchumba jamani awe mwaminifu kama obama,,,awe mvumilivu wa maneno kama lyumba...mchapa kazi kama kimei asiwe anasafir safiri ovyo kama rais kikwete...ajiandae kwalolote
 
Kumbe hauko serious binamu. Mimi nimeingia hapa nikijua nitafiti vigezo nakutana na jokes bwana. Nimeipotezea
 
Nataka nijue wewe ni HE/SHE maana sijakuelewa mbado.
 
uchapakazi wa kimei???? elewa ndie alieidhinisha upitishaji wa hela za EPA CRDB amabazo kwa peocedure za hela kwa wanaofahamu ( am not specialist) wanadai ni kinyume na utaratibu,
 
natafuta mchumba jamani awe mwaminifu kama obama,,,awe mvumilivu wa maneno kama lyumba...mchapa kazi kama kimei asiwe anasafir safiri ovyo kama rais kikwete...ajiandae kwalolote
hauko serious wewe
 
Nataka nijue wewe ni HE/SHE maana sijakuelewa mbado.

Aaaaah Mpwa huna kumbukumbu? Huyu ndiye yule aliyekuwa anatafuta mume aliyeachika kama yeye! Mali used hiyo! Stuka!
 
Aaaaah Mpwa huna kumbukumbu? Huyu ndiye yule aliyekuwa anatafuta mume aliyeachika kama yeye! Mali used hiyo! Stuka!

Krispin wumenichekesha sana na tenksi u got it, huyu ndiye yule mwathirika wa ndoa kutoka pemba ambaye hatujui kama na she/he wa she? I like ur memory.

Pia kumbuka hii thread imekaa kisiasa zaidi tusepe. Na hii picha naifahamu sio yeye kama anataka abishe nimwaibishe
 
aha aha ah wapwa mmestuka?? big senks mna kumbukumbu sana,lol
 

Mpwa nimeistukia. Let us do the separing action
 
usiwasikie wapwa mie sifa zote ninaxo tatizo umri wangu ni miaka 56
 
Aaaaah Mpwa huna kumbukumbu? Huyu ndiye yule aliyekuwa anatafuta mume aliyeachika kama yeye! Mali used hiyo! Stuka!

Iribini afu huyu ndo mi nilijifanya kumpigia chepuo G Porjie aahh!!! nime undo all that I did and said
 
Iribini afu huyu ndo mi nilijifanya kumpigia chepuo G Porjie aahh!!! nime undo all that I did and said

nadhani ajue tu HATUDANGANYIKI! huku sio sehemu ya wachumba wa KISIASA
 
Halafu huyu demu kwenye hii picha kama vile nampata?
 
natafuta mchumba jamani awe mwaminifu kama obama,,,awe mvumilivu wa maneno kama lyumba...mchapa kazi kama kimei asiwe anasafir safiri ovyo kama rais kikwete...ajiandae kwalolote
Mi nahisi ni kama nilitaka kuingia laini hivii; sema ni kama umenitisha na sentensi yako ya mwisho(red bolded)!!!
 
Iribini afu huyu ndo mi nilijifanya kumpigia chepuo G Porjie aahh!!! nime undo all that I did and said
aaaaahhh, hivi binamu ndio huyu??,
mnnnhh, ila mzuri jamani ana pozi tamu, Loh
 
aaaaahhh, hivi binamu ndio huyu??,
mnnnhh, ila mzuri jamani ana pozi tamu, Loh

binamu acahna nae hana lolote huyo, kwanza nguli kasema hii picha siyo ya huyo sweetbaby!! anahangaika sana bana asije akakakuua bure!! we need you here binamu yetu mwee!!
 
natafuta mchumba jamani awe mwaminifu kama obama,,,awe mvumilivu wa maneno kama lyumba...mchapa kazi kama kimei asiwe anasafir safiri ovyo kama rais kikwete...ajiandae kwalolote


Its my hope that i will be you choice
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…