natafuta mchumba

ndusyepo

Senior Member
Joined
Jul 2, 2013
Posts
165
Reaction score
41
Naitwa humphrey richard toka dar es salaam. Natafuta mchumba ambae badae anawezakuja kuwa mchumba wangu dini wala kabila sichagui maana love doesn't ask why or how...umri kuanzia miaka 20-25 awe mkazi wa dar es salaam na awe na mapenzi ya dhati kabisa na si kupotezeana muda@ aliyetayari tuwasiliane kupitia:
humphrey.5@live.com
0659-135260
 
jamani umerudi tena! anyway nitumie vocha nikuunganishe kwa demu wangu wa enzi hizo atakufaa.
 
umepunguza sharti la umri?..pale mtaan mbna kuna weng tu
 
mh wanaotak wachumba hapa nawahurmia! Ushapata wa 20-28 now unatak 20-25? Digitali zinamambo?
 

hivi huko mtaani kwako
umekosa kabisa?mh haya weee!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…