Natafuta mchumba!!

Hebu jaribu kuongea na yule aunt mtangazaji aliyepoteza mchumba na mama hivi karibuni kwa tukio la risasi.... sifa nyingi ulizotaja anazo...kila la kheri..

Sikushukuru kwa ushauri wako.
 
nataka nikuPM vipi wewe rangi na urefu kwako sio kigezo?
 

subiri nikufikirie.
 
Makabila unayoprifaa na kazi hazinigusi kabisaa
 
nakutakia kila la kheri ndg yng. Aombae hachoki na akichoka ameshapata. Funga na kuomba inasaidia.. Hapo kwenye kabila na kazi nimeshafelii. Maranatha....

makabila unayoprifaa na kazi hazinigusi kabisaa

Una haja gani ya kurudia yale yale? Maana sijakulazimisha wala kukuomba. Na majibu ya hayo yote nilishayatoa. Asante kwa kushiriki na samahani kama naonekana harsh...but i'm doing the necessity.
 
Sina preference hizo.
sawa sasa nina hofu na kazi na kabila,mimi masai mwanachuo nachukua ukandarasi katika chuo fulani mwaka wa 4.sasa hapo patakuwaje wakati wewe umewapa kipaumbele mpare, msukuma, mchaga will be more considered na tena mwalimu?
 
sawa sasa nina hofu na kazi na kabila,mimi masai mwanachuo nachukua ukandarasi katika chuo fulani mwaka wa 4.sasa hapo patakuwaje wakati wewe umewapa kipaumbele mpare, msukuma, mchaga will be more considered na tena mwalimu?

Hhhmm..tutaedit hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…