Natafuta mdada wa kuzaa nae tu ,alie serious ajitokeze

tunene

Member
Joined
Mar 14, 2017
Posts
80
Reaction score
90
Mimi nina umri wa 35.kazi mjasiriamali.sibagui rangi,kabila,elimu wala dini.
Nitatoa huduma zote kwa mtoto ikiwemo elimu.
Niko tayari kupima ukimwi na wewe uwe tayari kupima .
Ni-PM
 
Kwanini usioe kabisa maana mtoto anahitaji malezi kutoka pande zote mbili.yanini mwanao utake aishi kama yatima ili hali wazazi wake mtakuwepo kisa tu hutaki kuoa.wasio na wazazi wanatamani wangekuwepo japo wapete UPENDO A u kuna kuna kitu kilikusibu hutaki kuoa unataka mtoto
 
Babu sea kaachiwa...taarifa hiyo unayo????
 
Njoo dm kabla ujanipa mimba tanguliza 500,000 ndotunapeana mimba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…