Nje ya maada, jina lako la kike au kiume? kama la kike nakuja pm tuyajengeni kweli, haya hua matokeo ya kupata hela nyingi ambayo hukuwahi kushika kwa mkupuo unakua huelewi ufanye nini
me ni ke, karibu sanaNje ya maada, jina lako la kike au kiume? kama la kike nakuja pm tuyajenge
Umefunga pmme ni ke, karibu sana
Unafikiria bank wanatoa tu mkopo kisa una boma wamestuka nao siku hiziUnaanza kumtisha badala ya kumtia Moyo, Unaelewa maana ya Risk Taking?wewe ndio utamfanya abaki na hayo magofu mpaka mwisho wake.Sasa kisa Cha kuangalia magofu Hadi unakufa ni Nini wakati alternative kibao,wewe lazima ni muajiriwa ndio mnakuwaga waoga waoga Sana,hela haigopwi!Mwache achukue hela akili itachangamka kwa Kasi ya rejesho mbona mjini ndio wengi tunaishi na marejesho
Kaka mleta Uzi,ngoja nikupe ushauri wa kiwiziwizi kidogo,Katika hizo nyumba zako chagua moja ambayo hata ikipotea hautaumia Sana,weka nyaraka zako vizuri,ingia benki,chukua hela unayoona inaendana na mahitaji yako,ukipata Pesa fanya project zako fasta uanze marejesho,Incase Sasa ukafail kurudisha rejesho benki watapiga mnada nyumba utakuwa umeiuza Kwa njia rahisi...
afu siioni funguo aiseeUmefunga pm
Mentality za losers hizi... Mfanyabiashara unaogopa kukopa bank🤣🤣🤣 eti ili usiwe stressed na upate ladha ya chakula WTFHuu ushauri ogopa tena ogopa jichanganye uone Bora ubaki unangalia magofu yako una amani kwenye nafsi yako , wenzako Wana biashara kubwa nk Ila hawana furaha wanawaza marejesho tu wanakula vizuri ila hawasikii radha ya chakula wanalala pazuri ila hawana usingizi Sasa jichomeke uko bank utarudi hapa jamvini ukweli hausemwi kuwa BANK KUZURI KUKOPA ILA SI KWAKILA MFANYA BIASHARA
Basi tuseme AmenSiendi leo
karibu sanaSingida pazuri Kwa uwekezaji hata mie napatamani japo ukweni ila nitakuja kuweza huko ukizingatia 2025 kombe linaerekea huko
Kuhusu mradi upi wa kuanza nao nimelitolea ufafanuzi ndani ya post nyingine mkuuHongera na pole. Ushauri wangu kwako na kwa wapambanaji wengine ni huu hapa;
Ni vizuri kuanza na mradi mmoja kwanza/miradi michache. Haya mambo ya kuanzisha miradi 10 kwa wakati mmoja, kisa tu ulipata hela za mkupuo! Madhara yake ndiyo haya sasa. Hakuna hata mradi mmoja uliokamilika, na hela yote imekwisha.
Hongera sana mkuu! Nimeguswa na mipango yako iliyotukuka pia nahitaji kuungana na wewe katila swala la shule na swala la kufunga mashine ya kukamua mafuta. Nitakutafuta ili tujue tunafanyejeWanajukwaa na wasalimu kwa jina la Jamhuri Tanzania.
Ndugu zangu kiukweli nahitaji mtu ama Taasisi yeyote ya kuweza kunisaidi kumalizia miradi yangu ambayo nimekwisha ianza.
1) Mradi wa kwanza kumalizia apartment mbili ambazo bado plaster, wiring ya umeme,madirisha ya vioo na mirango ya ndani.
2) Mradi mwingine ni wa ukumbi wa kuangalia mipira ambao bado kufunika,kupiga plaster pamoja na kusakafia. Ambao unao uwezo wa kuingiza watu 100 hadi 150. madirisha na mirango ipo tayari na nimekwisha ipachika.
3) Mradi mwingine ni wa kufunga mashine mbili wa kusaga nafaka pamoja na kinu chake cha kukobolea, na mashine nyingine ni mashine ya kukamua alizeti ili kutoa mafuta na kuyauza. eneo lipo tayari na jeongo lipo tayari kobado kumalizia ujenzi na kulitanua ili kupata sehemu ya kuhifadhia magunia ya alizeti na mashudu ambalo linahitaji kuongezea ujenzi. Pia kuna na ekari 25 kwa ajiri ya kupata raw materials ya kiwanda.
4) Kumalizia ujenzi wa nyumba ambayo nilifungua ili kuifanya kuw shule ya watoto wadogo kindergarten class ambayo bado kuifunika lakini ina vyumba vinne pamoja ofisi ya walimu kijiko pamoja na ofisi ya mwalimu mkuu ama Mkurugenzi. imebaki kuifunika na kuweka milango na madirisha pamoja na kuchimba shimo la choo pamoja na vyumba vya choo. hapo pana chemchem ya maji kwahiyo maji si shida
5) Mradi mwingine ni wa ujenzi wa mabwawa ya samaki eneo lipo tayari pana ekari 5 pia pana source ya maji ya chini nilikwisha anza kuyatafuta maji ya chini lakini si kumalizia nilipata shida binafsi.
6) Pia kuna frame za maduka inahitaji marekebisho kidogo ili watu waingine na biashara iendelee.
Kama kuna mtu ambaye anaweza kunishika mkoo tafadhali namuhitaji sana ambaye yupo seriously .
MAWASILIANO YANGU 0710468496
0717568496
EMAIL. emkwama@gmail.com
Karibu singid.