Natafuta medium primary school kwa ajili ya mwanangu

Snia

Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49
Reaction score
6
Wanajamvi naombeni msaada wenu wa kupata shule nzuri maeneo ya DSM or Morogoro yenye sifa nzuri na iwe ni boarding tafadhari naombeni msaada wenu wa haraka.
 
wanajamvi naombeni msaada wenu wa kupata shule nzuri maeneo ya dsm or morogoro yenye sifa nzuri na iwe ni boarding tafadhari naombeni msaada wenu wa haraka.

tusiime primary school,iko tabata dar es salaam
 
medium primary school!!!? hii hautapata kamwe.... ingekua english medium au swahil medium ngekusaidia kidogo
 
Kuna shule ipo moshi karibu na mweka inaitwa st.ursula ni ya masista wa shirika la st.ursula ipo vizuri na ada ipo chini
 
hahahahah makosa ya kiuandishi namaanisha english medium
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…