Jamani,
Mimi ni kijana wa kitanzania nahitaji kujikwamua kiuchumi na nimepata wazo la kwenda kuchukua viazi mviringo Mbeya na Iringa na kuja kuviuza mikoa ya Dar es Salaam na Morogoro.
Shida yangu kubwa nahitaji nimpate 'Mentor' au mtu aliyewahi kufanya hiyo biashara angalau anipe moja mbili tatu kuhusu hii biashara hususani changamoto zake, sehemu mzigo mnapochukulia, gharama zake, hata na faida zake.
Nitashukuru sana wakuu endapo nitapata msaada kwa hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni kijana wa kitanzania nahitaji kujikwamua kiuchumi na nimepata wazo la kwenda kuchukua viazi mviringo Mbeya na Iringa na kuja kuviuza mikoa ya Dar es Salaam na Morogoro.
Shida yangu kubwa nahitaji nimpate 'Mentor' au mtu aliyewahi kufanya hiyo biashara angalau anipe moja mbili tatu kuhusu hii biashara hususani changamoto zake, sehemu mzigo mnapochukulia, gharama zake, hata na faida zake.
Nitashukuru sana wakuu endapo nitapata msaada kwa hili
Sent using Jamii Forums mobile app