Mtwara kwenye biashara gani muelekezePeleka mtwara hutajuta.
Sent from my TECNO WX3 using Tapatalk
Mh. Hakuna kosa kubwa atakalofanya kama kuulizia kwa dalali. Madalali ni walaghai sana na akijua mtu ni mgeni kwenye biashara atampiga sana. Haya mambo unaweza kuyafanya kimya kimya tu.Nenda mabibo sokoni unaongea na Dalali mzoefu! Kikubwa hapo wewe unapaswa kujua
Gunia la viazi bei gani shambani,
Sokoni bei gani,
Fuso inajaza gunia ngapi,
Usafiri sh ngapi,
Ushuru wa ahambani & sokoni,
Gharama ndogo ndogo kama magunia, kamba, kupakia & kupanga, kushusha na Posho ya Dalali sh ngapi!
Those are basic...mi naleta bidhaa nyingine kwa viazi sina details za kutosha
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubali hii mzee. Otherwise huyo dalali mjuane personally ndio akupe ABC za ukweli.Mh. Hakuna kosa kubwa atakalofanya kama kuulizia kwa dalali. Madalali ni walaghai sana na akijua mtu ni mgeni kwenye biashara atampiga sana. Haya mambo unaweza kuyafanya kimya kimya tu. Unaenda sokoni unafanya utafiti wako, unatenga nauli unasafiri viazi vinapotoka unafanya utafiti kabla ya kuanza biashara.
Mkuu weka hayo mazao mengine tufaidikeNenda mabibo sokoni unaongea na Dalali mzoefu! Kikubwa hapo wewe unapaswa kujua
Gunia la viazi bei gani shambani,
Sokoni bei gani,
Fuso inajaza gunia ngapi,
Usafiri sh ngapi,
Ushuru wa ahambani & sokoni,
Gharama ndogo ndogo kama magunia, kamba, kupakia & kupanga, kushusha na Posho ya Dalali sh ngapi!
Those are basic...mi naleta bidhaa nyingine kwa viazi sina details za kutosha
Sent using Jamii Forums mobile app