Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
Zamani ukiwa na upungufu wa akili walikuwa wanakuita Mento
sasa ww kuwa na akili walikua wanasema mento yaani ile ya MENTAL ( ambayo ni neno la kingereza kwa mtu asie na akili sawa sawaZamani ukiwa na upungufu wa akili walikuwa wanakuita Mento
poaIngia YouTube msake huyo mwamba umsikilize mara 2 utakuwa umekuwa mwalimu Bora wa wengiView attachment 3156322
NitafutePlease kama unawiwa urafiki wa faida wa kufundishana na kuelekezana kuhusu uwekezaji kwene mifuko na bondi kama UTT jitokeze.
Ingependeza uwe unajua viytu kuliko nijuavyo mm. mi ndo naanza kujitafuta kwene huu uwekezaji
mentor siyo vipeperushiMbona vipeperushi vyao vinajieleza? unataka kujua nini zaidi wajuzi washushe nondo
wengine nao tunaruhusiwaNitafute
sawa mkuuNitafute
Leo hii yeye anatafuta Mentor ๐๐๐๐,Zamani ukiwa na upungufu wa akili walikuwa wanakuita Mento
๐ฎLeo hii yeye anatafuta Mentor ๐๐๐๐,
oky ,basi tafuta mentor utapata tu. nilijua kina vitu unahitaji kujua zaidimentor siyo vipeperushi
hapana generally nishajua nahitaji memtoroky ,basi tafuta mentor utapata tu. nilijua kina vitu unahitaji kujua zaidi
Mtafute huyu heโs very good
Tajiri ๐๐๐๐ Asante kwa kuni dump๐ฎ
Hata mimi ningependa kujua hili...Please kama unawiwa urafiki wa faida wa kufundishana na kuelekezana kuhusu uwekezaji kwene mifuko na bondi kama UTT jitokeze.
Ingependeza uwe unajua viytu kuliko nijuavyo mm. mi ndo naanza kujitafuta kwene huu uwekezaji
mm tena ๐oky ,basi tafuta mentor utapata tu. nilijua kina vitu unahitaji kujua zaidi