Namche Bazar
Senior Member
- Apr 8, 2019
- 116
- 176
Kwa umri wangu sina haja ya kuleta utani kwa watu nisiowajua hapa JF.Hauko serious mkuu! Mafundi bongo mbona wapo wengi tu? Kama unataka uimara kanunue mwenyewe bomba ya inchi mbili na unene wa millimeter mbili na mbao za mpodo au mninga. Leta fundi akutengenezee hapo shuleni. Kama unataka ushauri zaidi njoo pm naweza kusimamia show!
Kalenda inakuwepo sababu fundi anatoa makadirio ya muda mfupi kuendana na shinikizo la mteja.Kwa umri wangu sina haja ya kuleta utani kwa watu nisiowajua hapa JF.
Naomba unisaidie kunipa quotation ya meza na kiti chake kama unamjua mtaalamu wa hiyo kazi.
Tatizo la mafundi wengi wa nchi hii wamejaa kalenda na utapeli yaani hadithi nyingi kuliko maelezo ndio maana napenda imported "pay take and go"
DoneNitumie email yako PM ili nikutumie official quotation.
Seen.Done