Brightman Jr
JF-Expert Member
- Mar 22, 2009
- 1,224
- 234
wakuu natafuta mfadhili wa kugharimia masomo ya shahada ya pili(Masters). Mdogo wangu kamaliza shahada ya kwanza nami sina uwezo wa kugharimia hayo masomo ya ngazi hiyo. Ahsanteni!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakuu natafuta mfadhili wa kugharimia masomo ya shahada ya pili(Masters). Mdogo wangu kamaliza shahada ya kwanza nami sina uwezo wa kugharimia hayo masomo ya ngazi hiyo. Ahsanteni!
Sometimes masters tunasoma kwa leisure tu!, atafute pesa kama anataka kusoma, kama hawez aishie kutamani tu! au mfanye kikao cha ukoo muone ni jinsi gani mtamsaidia!
Ni mwajiriwa wa serikali au sekta binafsi?waheshimiwa asante kwa majibu yenu. Huyu mdogo wangu ameajiriwa, ni mwalimu. Jamani mshahara alionao ni vigumu kusoma masters. Anapokea laki 3 baada ya makato, sasa sielewi kama kiwango hicho kinaweza msaidia.
Ila walimu wana akili ndogo sana..sasa kwa nin asichukue mkopo bank ili ajisomeshe tu?
wakuu natafuta mfadhili wa kugharimia masomo ya shahada ya pili(Masters). Mdogo wangu kamaliza shahada ya kwanza nami sina uwezo wa kugharimia hayo masomo ya ngazi hiyo. Ahsanteni!