Natafuta mfanyakazi wa ndani (house girl)

Natafuta mfanyakazi wa ndani (house girl)

Joined
Apr 18, 2017
Posts
86
Reaction score
57
Kama title inavyojieleza.
Eneo la kazi ni Sinza, Dar es Salaaam
Awe wa umri kuanzia miaka 18+

Awe muadilifu, mchapakazi na utayari wa kukaa kwa muajiri
Mshahara wa kuanzia 50,000/- kwa mwezi.

Mawasiliano: +255 683 018095
WhatsApp: +255676095799
 
Kama title inavyojieleza.
Eneo la kazi ni Sinza, Dar es Salaaam
Awe wa umri kuanzia miaka 18+

Awe muadilifu, mchapakazi na utayari wa kukaa kwa muajiri
Mshahara wa kuanzia 50,000/- kwa mwezi.

Mawasiliano: +255 683 018095
WhatsApp: +255676095799
Aisee
 
Back
Top Bottom