Natafuta mfugaji wa kunisambazia Mayai ya kisasa

Natafuta mfugaji wa kunisambazia Mayai ya kisasa

Fahad mayai

Member
Joined
Dec 17, 2019
Posts
27
Reaction score
11
Habari zenu, naitwa Fahad napatikana Ilala Dar es salaam nilikuwa nahitaji mfugaji anaeweza kunsupply mayai ya kisasa tray 300 kila baada ya siku 3, bei isizidi 6200 na usafirishaji wa mayai ni juu yangu mimi.

Malipo ni cash kwa mawasiliano zaidi 0625602775
 
Back
Top Bottom