Natafuta Mganga wa Mapenzi

Natafuta Mganga wa Mapenzi

Kongosho

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2011
Posts
35,991
Reaction score
24,211
jamani kama kuna waganga wa kusafisha nyota ya mapenzi au kumpata unayemtaka basi wanaweza fanya na vice verse, yaani kumfukuza usiyemtaka.

Nimependwa na babu jinga afu haelewi, nioge dawa gani asinione??

Ananifuata kama mkia, ananijaza shombo tu mie(najua moyo hauna macho) ila kuna 'type' zikianza kukufuata jua ushafulia.

Kajaa kila mahali ofisini kwangu, njiani, mitaani hawezi tu kuja nyumbani kwangu.

Bishanga msaada tafadhali
 
Last edited by a moderator:
jamani kama kuna waganga wa kusafisha nyota ya mapenzi au kumpata unayemtaka basi wanaweza fanya na vice verse, yaani kumfukuza usiyemtaka.

Nimependwa na babu jinga afu haelewi, nioge dawa gani asinione??

Ananifuata kama mkia, ananijaza shombo tu mie(najua moyo hauna macho) ila kuna 'type' zikianza kukufuata jua ushafulia.

Kajaa kila mahali ofisini kwangu, njiani, mitaani hawezi tu kuja nyumbani kwangu.

Bishanga msaada tafadhali

yule wa nungwi hafai tena?
 
Last edited by a moderator:
si huyo, huyu ananisarandia tu
nshamwambia staki hasikii hanipi pumzi
nimeblock nos zake zote na mails sasa ananifuata manywali

nimechoka naona sasa ntakomiti mada bure.

Bora mmielekeze mganga wa kumfukuza
yule wa nungwi hafai tena?
 
Tawile,ngoja n pandishe Majini yangu ndio nisikilize shida zako ni sauti ya Mganga anayeishi karibu na Mtaani kwetu ni PM kuelekeze anapo patikana.
 
he he he, yule wa pale jirani kwenu ni feki.

Mie nataka wa Sumbawanga wanaojua kabisa.

Tawile,ngoja n pandishe Majini yangu ndio nisikilize shida zako ni sauti ya Mganga anayeishi karibu na Mtaani kwetu ni PM kuelekeze anapo patikana.
 
hahaahhh Kongosho umepewa bure toa bure....

Vibaya hivyo kitu unacho kumnyima mwenzio .....
 
Last edited by a moderator:
kaweka Bango karibu na kwake kwamba katoka KIGOMA,hivyo achana na Waganga toka Sumbawanga.
Kama vipi Karibu Mtaani kwetu.


he he he, yule wa pale jirani kwenu ni feki.

Mie nataka wa Sumbawanga wanaojua kabisa.
 
naowataka akyanani nawapaga bure
asa kama sitaki aniache lol

una mganga wako wapi?

Maana siku hizi baadhi ya akina dada wana family wagangas kama vile kampuni kuwa la lawyer

hahaahhh Kongosho umepewa bure toa bure....

Vibaya hivyo kitu unacho kumnyima mwenzio .....
 
Last edited by a moderator:
afu wee kunitania kwenye mambo siriaz ujue sipendi?

Hebu nipe namba yako nikunyanyulie waya mie.

kaweka Bango karibu na kwake kwa katoka KIGOMA,hivyo achana na Waganga toka Sumbawanga.
Kama vipi Karibu Mtaani kwetu.
 
hivi bajaj nayo ina namba?
Wee kwa jina tu najua msukuma, hujauza ng'ombe wewe hadi unawaza namba za bajaj?

Mie nataka namba ya simu bwana, yangu inaishia 727, ukina usisite kupokea.

Unaomba namba ya Gari au ya Bajaj.tiririka unataka namba zipi?
 
NimekuPM,Kubip akutakiwi.

hivi bajaj nayo ina namba?
Wee kwa jina tu najua msukuma, hujauza ng'ombe wewe hadi unawaza namba za bajaj?

Mie nataka namba ya simu bwana, yangu inaishia 727, ukina usisite kupokea.
 
Unaowakataa wawaanika!
Wanaofanikiwa hutwambii !
Imekaaje hii ?
 
hata naokubali nimewaanika

nina mabwana 2 singo, wamme za watu 3 na kiserengeti 1.

Afu elewa nlowakubali hawajanitatiza ndo maana sijaja kupata ushauri, sijamwagwa, sijanyimwa udora, niwalalamikie nini?

Think Judge Think

Unaowakataa wawaanika!
Wanaofanikiwa hutwambii !
Imekaaje hii ?
 
jamani kama kuna waganga wa kusafisha nyota ya mapenzi au kumpata unayemtaka basi wanaweza fanya na vice verse, yaani kumfukuza usiyemtaka.

Nimependwa na babu jinga afu haelewi, nioge dawa gani asinione??

Ananifuata kama mkia, ananijaza shombo tu mie(najua moyo hauna macho) ila kuna 'type' zikianza kukufuata jua ushafulia.

Kajaa kila mahali ofisini kwangu, njiani, mitaani hawezi tu kuja nyumbani kwangu.

Bishanga msaada tafadhali
mfanyie tu maombi atatoweka mwenyewe huyo.....mtafute erick52,level,asprin wanajua sana kuombea
 
Pepo la kukataliwa linakusumbua..sijaona mtu anaitupa bahati yake hivihivi. Lakini njoo kwangu, ukilala siku moja hiyo nuksi yake hupati hata wa kukutukana barabarani
 
hata naokubali nimewaanika

nina mabwana 2 singo, wamme za watu 3 na kiserengeti 1.

Afu elewa nlowakubali hawajanitatiza ndo maana sijaja kupata ushauri, sijamwagwa, sijanyimwa udora, niwalalamikie nini?

Think Judge Think

Sasa Pancrease hii cocktail (changanya marumba) unai'handle vipi ?
Huoni unaweza kum'mix Dereva na Kondawe ? Au headmaster na deputy wake ?
 
Back
Top Bottom