Natafuta Mhudumu wa kuhudumia Mzee

Natafuta Mhudumu wa kuhudumia Mzee

Nyamsusa JB

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2015
Posts
567
Reaction score
1,564
Habari.

Natafuta Fulltime Mhudumu wa nyumbani wa kumhudumia Baba Mzee.
Mzee anahitaji kusaidiwa huduma zote kwani ni mhanga wa Stroke.

Sifa za Mhudumu.
- Awe ni mzoefu wa kuhudumia wazee au watu wasiojimudu kujihudumia

- Awe ni mtu mwenye Upendo na uvumilivu.

- Mhudumu wa Kike atapewa kipaombele

- Awe Mcha Mungu akiwa mkrisio itapendeza zaidi ili iwe rahisi kuchangamana na Familia ambayo ni ya Kikristo.

- Awe tayari kuhamia KAHAMA SHINYANGA na awe tayari kuishi kwenye Familia yetu .

MALIPO
  • Mshahara Mzuri kwa Mwezi
  • Huduma ya Afya (BIMA)
  • Malazi na Chakula Bure
  • Ongezeko la Mshara kila mwaka kama utafanya vizuri.
  • Tunaweza funga Mkataba wa Muda
  • Utaishi nasi kama mwanafamilia kamili bila ubaguzi.
Nb. mwenye uzoefu na mambo ya Nursing atapewa kipaombele na Mshahara mzuri zaidi

Kwa anaetafuta Kazi ya namna hii au anamjua anayetafuta anicheck kwa whatsup kwa Majadiliano zaidi. +255623682872
 
Vijana wa kike wenye taaluma zenu changamkieni fursa iyo.....
 
Habari.

Natafuta Fulltime Mhudumu wa nyumbani wa kumhudumia Baba Mzee.
Mzee anahitaji kusaidiwa huduma zote kwani ni mhanga wa Stroke.

Sifa za Mhudumu.
- Awe ni mzoefu wa kuhudumia wazee au watu wasiojimudu kujihudumia

- Awe ni mtu mwenye Upendo na uvumilivu.

- Mhudumu wa Kike atapewa kipaombele

- Awe Mcha Mungu akiwa mkrisio itapendeza zaidi ili iwe rahisi kuchangamana na Familia ambayo ni ya Kikristo.

- Awe tayari kuhamia KAHAMA SHINYANGA na awe tayari kuishi kwenye Familia yetu .

MALIPO
  • Mshahara Mzuri kwa Mwezi
  • Huduma ya Afya (BIMA)
  • Malazi na Chakula Bure
  • Ongezeko la Mshara kila mwaka kama utafanya vizuri.
  • Tunaweza funga Mkataba wa Muda
  • Utaishi nasi kama mwanafamilia kamili bila ubaguzi.
Nb. mwenye uzoefu na mambo ya Nursing atapewa kipaombele na Mshahara mzuri zaidi

Kwa anaetafuta Kazi ya namna hii au anamjua anayetafuta anicheck kwa whatsup kwa Majadiliano zaidi. +255623682872
𝐡𝐮𝐣𝐚𝐩𝐚𝐭𝐚 𝐛𝐚𝐝𝐨?
 
Back
Top Bottom