uzolelanga
Member
- Sep 16, 2020
- 79
- 172
Nawasalimu kwa jina la JMT, wakuu poleni kwa yaliotukia kuhusu mwaka mpya wa serikali naamini mama ameyasikia na watayafanyia kazi.
Wakuu kwa heshima na taadhima naomba mnisaidie kupata mitindo mizuri ya shati la kitenge maana ninataka kushona hii kitu maana nimetokea kuvutiwa nayo.
Thanks in advance.
Wakuu kwa heshima na taadhima naomba mnisaidie kupata mitindo mizuri ya shati la kitenge maana ninataka kushona hii kitu maana nimetokea kuvutiwa nayo.
Thanks in advance.