BlackBerry JF-Expert Member Joined Mar 22, 2011 Posts 1,839 Reaction score 958 Aug 18, 2011 #21 Duh kwa nini wajane? mhhh all the best
Riwa Platinum Member Joined Oct 11, 2007 Posts 2,607 Reaction score 3,079 Aug 18, 2011 #22 hiyo email address mbona ina jina la 'kiume'?!
mikatabafeki JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 12,771 Reaction score 4,649 Aug 18, 2011 #23 nina mashaka na wewe................
D Didack3 Member Joined Oct 20, 2011 Posts 5 Reaction score 0 Oct 28, 2011 #24 nashindwa kuwaelewa baadhi ya wanajamii,hv mmejiunga jamii ili mkashifu watu kwa hoja zao au tusaidiane mawazo na ushauri.?nadhani tuwe waungwana kujali hisia za mtu si kashfa na kebehi.haina maana.tupeane ushauli wa maana.
nashindwa kuwaelewa baadhi ya wanajamii,hv mmejiunga jamii ili mkashifu watu kwa hoja zao au tusaidiane mawazo na ushauri.?nadhani tuwe waungwana kujali hisia za mtu si kashfa na kebehi.haina maana.tupeane ushauli wa maana.