Leo nitasubiria hapa mpaka kieleweke!
Jaman wandugu dunia imebadilika sana, tumeumizwa vya kutosha, mwisho wa siku nimechoka kabisaaaa, msichana aliyetayari kuolewa aniPM mengine yote tutaongea kwa faragha mimi nayeye. Nina uwezo wa kumtunza.
Duh, kuumizwa vibaya! Ila kama unahisi utaniumiza usinisumbue!
Vipi ulipata?
kwa hiyo baada ya Misorgenes kukuPM umeridhika naye, je una uhakika hata kuumiza vibaya huyo?!Vipi ulipata?
EEEEHHH...sijui nikajisalimishage?!!!Jaribu Facebook utapata kirahisi
Huyo ni dume na yeye alikuwa anatafuta jike ndo nilimuuliza alishapata?
haaa yani nimechelewa?
tehee tehee!nenda kwenye web ya baraza kuna wamemaliza shule sasa ruksa!