Natafuta mke age 18-25 na awe mlokole

mbuguni

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2013
Posts
576
Reaction score
151
Kama bandiko langu lilivyo hapo juu nipo serious natafuta mke na awe tayari kupima HIV.
Elimu awe level yeyote.
Mwenye sifa hizo anipm ili nimpe contact.
 
utamjuaje kama kweli kaokoka?jee akiwa na matendo mema yanayofuata maandiko ya biblia ila hasali katika makanisa ya kisasa wala hajitangazi kuwa kaokoka utamkubali?
 
Hudhuria semina/mikutano/makongamano ya kidini, kwa sana huko lazima utampata anayekufaa.
 
nadhan huku hutampata labda akuokokee nenda makanisa ya walokole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…