Natafuta mke aliye na uhitaji wa kuolewa kwa dhati

Natafuta mke aliye na uhitaji wa kuolewa kwa dhati

bachelor sugu

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
2,689
Reaction score
3,646
Licha ya kuwepo kwa kasumba au imani kuwa huwezi kupata mke katika mitandao ya kijamii,mimi napingana nalo sababu waliomo humu ndo haohao tunaokutana nao katika mazingira yetu ya kawaida hivyo naomba kuwasilisha Ombi langu kama ifuatavyo:
Natafuta mke kwa dhati kabisa ambaye yuko tayari kuolewa kwa dhati toka moyoni mwake na awe na sifa zifuatazo:
1.Awe tayari kwa hiari yake kuishi na mume
2.Awe na mchanganyiko wa asili take(girls from Pemba,Mombasa etc mostly preferred)
3.Age 20--25 years old
Awe muislam
4.Awe na mvuto na umbo la like as long mwanamke ni pambo la Nyumba
5.Akiwa na kazi itapendeza but sio kigezo muhimu.
6.Awe tayari kuanza kuyajenga maisha nami sababu sikuandaliwa maisha.
7.Awe tayari kuishi na kuipenda familia yangu sababu mm ni muafrika na nina Extended family
8.Asiwe mrefu zaidi ya futi 5.5 wala mfupi chini ya 5.
9.Elimu walau kuanzia FORM IV na kuendelea.
10.Asiwe muigizajj au asipende kuigiza maisha Bali awe ktk uhalisia wake.
NB: naamini kuwa sifa ya ukamilifu ni yake Mola tu hivyo hata km kuna mapungufu katika sifa hizo basi aliyetayari ani PM kwa kile tutakachoweza kufikia muafaka basi tutafikia kama kweli atakuwa na nia thabiti...
Karibuni Pm na wala hakutakuwa na majibu ya karaha wala kukwaza na ya huko Pm yataishia huko huko.
Allahu Ya Allam.
 
Yani unatafuta MKE(ameisha olewa) tena awe ana uhitaji wa kuolewa...
Kama hawana uhitaji na wewe ndio basi kwa maana hiyo?

Waombe moderator wakubadilishie heading angalau iwe
Natafuta binti au mwanamke wa kumuoa..

Kila la kheri!
 
Yani unatafuta MKE(ameisha olewa) tena awe ana uhitaji wa kuolewa...
Kama hawana uhitaji na wewe ndio basi kwa maana hiyo?

Waombe moderator wakubadilishie heading angalau iwe
Natafuta binti au mwanamke wa kumuoa..

Kila la kheri!
Shukrani kwa wazo lako
 
Shukrani kwa wazo lako
Wewe bachelor sugu endelea tu kuwa bachelor, kumpata mwanamke mtandaon mwenye shepu, rangi ya mtume, age chini ya 25 afu unasema muanze pamoja life from 0 ni nadra sana
 
Licha ya kuwepo kwa kasumba au imani kuwa huwezi kupata mke katika mitandao ya kijamii,mimi napingana nalo sababu waliomo humu ndo haohao tunaokutana nao katika mazingira yetu ya kawaida hivyo naomba kuwasilisha Ombi langu kama ifuatavyo:
Natafuta mke kwa dhati kabisa ambaye yuko tayari kuolewa kwa dhati toka moyoni mwake na awe na sifa zifuatazo:
1.Awe tayari kwa hiari yake kuishi na mume
2.Awe na mchanganyiko wa asili take(girls from Pemba,Mombasa etc mostly preferred)
3.Age 20--25 years old
Awe muislam
4.Awe na mvuto na umbo la like as long mwanamke ni pambo la Nyumba
5.Akiwa na kazi itapendeza but sio kigezo muhimu.
6.Awe tayari kuanza kuyajenga maisha nami sababu sikuandaliwa maisha.
7.Awe tayari kuishi na kuipenda familia yangu sababu mm ni muafrika na nina Extended family
8.Asiwe mrefu zaidi ya inchi 5.5 wala mfupi chini ya 5.
9.Elimu walau kuanzia FORM IV na kuendelea.
10.Asiwe muigizajj au asipende kuigiza maisha Bali awe ktk uhalisia wake.
NB: naamini kuwa sifa ya ukamilifu ni yake Mola tu hivyo hata km kuna mapungufu katika sifa hizo basi aliyetayari ani PM kwa kile tutakachoweza kufikia muafaka basi tutafikia kama kweli atakuwa na nia thabiti...
Karibuni Pm na wala hakutakuwa na majibu ya karaha wala kukwaza na ya huko Pm yataishia huko huko.
Allahu Ya Allam.
Kama unaweza ku eddit, tafadhali rekebisha hapo kwenye urefu, badala ya inchi 5.5 weka futi 5.5. Inchi 5.5 haifikii hata urefu wa chupa ndogo ya maji.
 
Wewe bachelor sugu endelea tu kuwa bachelor, kumpata mwanamke mtandaon mwenye shepu, rangi ya mtume, age chini ya 25 afu unasema muanze pamoja life from 0 ni nadra sana
Mh aisee bro nimechoka kuwa bachelor.
 
Kama unaweza ku eddit, tafadhali rekebisha hapo kwenye urefu, badala ya inchi 5.5 weka futi 5.5. Inchi 5.5 haifikii hata urefu wa chupa ndogo ya maji.
Shukrani bosi kwa kunote makosa ya kipimo cha urefu,nimesharekebisha.
 
Niko hapa lakini sipajui PM
Mh hayo ya kweli kuwa hupajui PM? Anyway bofya kwenye jina langu hapo ili ufungue profile yangu ikifunguka utakuta sehemu iliyoandikwa message ukibofya utaletewa sehemu ya kuandika msg yako kwangu na inakuwa ni private yaani mm na ww ndo tunaoiona.Kama serious karibu but km mzinguaji unaweza pita tu.
 
Back
Top Bottom