Natafuta mke, awe ametosheka na ngono na watoto!

Natafuta mke, awe ametosheka na ngono na watoto!

Mpwitompwito

Member
Joined
May 14, 2015
Posts
14
Reaction score
1
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 47,najitokeza hapa kutafuta mke ambae atakuwa ametosheka na NGONO na ambae haitaji tena WATOTO,yule Mwanamke ambae ameguswa na mwenye nia ya dhati,naomba PM au Tuwasiliane kwa email adres ifuatayo mpwitom@gmail.com KARIBU SANA
 
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 47,najitokeza hapa kutafuta mke ambae atakuwa ametosheka na NGONO na ambae haitaji tena WATOTO,yule Mwanamke ambae ameguswa na mwenye nia ya dhati,naomba PM au Tuwasiliane kwa email adres ifuatayo mpwitom@gmail.com KARIBU SANA

Huyo au hao uliozaa nao watoto mpaka ukatosheka kiasi kwamba hutaki tena watoto wala ngono wana shida gani? Ni ngumu sana kupata lea wanao tu.
 
Huyo au hao uliozaa nao watoto mpaka ukatosheka kiasi kwamba hutaki tena watoto wala ngono wana shida gani? Ni ngumu sana kupata lea wanao tu.


Kwa swala la watoto ila kwa ngono labda ana kisukari
 
Hakuna hatoshekae na ngono, ni umri tu unakuta haumruhusu tena kutafuna vitamu.
 
Kwa swala la watoto ila kwa ngono labda ana kisukari

Kama ana kisukari labda atafute bi kizee au ajuza.Mwanamke gani umuoe umuangalie tu kama movie ya van dame. Tchaaa !
 
Bila ngono itakuwa ndoa kweli au unatafuta mdada wa kazi si useme tu ukweli
 
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 47,najitokeza hapa kutafuta mke ambae atakuwa ametosheka na NGONO na ambae haitaji tena WATOTO,yule Mwanamke ambae ameguswa na mwenye nia ya dhati,naomba PM au Tuwasiliane kwa email adres ifuatayo mpwitom@gmail.com KARIBU SANA

hebu eleza zaidi kidogo sifa zako zingine tofauti na umri.
 
Hii kali, inabidi upate mwanamke mzee ndio katosheka na ngono.
 
Mie nimetosheka na vyote ila pesa TU! karibu sana
 
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 47,najitokeza hapa kutafuta mke ambae atakuwa ametosheka na NGONO na ambae haitaji tena WATOTO,yule Mwanamke ambae ameguswa na mwenye nia ya dhati,naomba PM au Tuwasiliane kwa email adres ifuatayo mpwitom@gmail.com KARIBU SANA
Mkuu hayupo kama huyo unayemtafuta, ulete mrejesho ukipata maana hujasema upande wako una watoto wangapi na imekuwaje
 
Hakuna binadamu ambaye ana afya ya kutosha anaweza akakwambia katosheka na ngono.

Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 47,najitokeza hapa kutafuta mke ambae atakuwa ametosheka na NGONO na ambae haitaji tena WATOTO,yule Mwanamke ambae ameguswa na mwenye nia ya dhati,naomba PM au Tuwasiliane kwa email adres ifuatayo mpwitom@gmail.com KARIBU SANA
 
Mkuu hayupo kama huyo unayemtafuta, ulete mrejesho ukipata maana hujasema upande wako una watoto wangapi na imekuwaje

Huyu jamaa atakuwa na rundo la watoto anatafuta wa kuwalea anaogopa akipata kabinti kataongeza familia.
 
Back
Top Bottom