Natafuta mke awe mwalimu

Natafuta mke awe mwalimu

mhuri25

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2016
Posts
2,780
Reaction score
3,733
Hello Wanabodi mimi ni Kijana nipo tu nafanya ujasiriamali mdogomdogo kiasi sikosi hela ya kulipa Pango na Kula

Napenda kutafuta Mke awe Mwalimu wa Daraja lolote lile asizidi miaka 25, asiwe mweusi, wala mnene sana, Mkristo itakuwa vizuri hata akiwa Dini nyingine sawa ila akubali kuolewa na asilete Suala la udini

Mimi nina 30, mkristo, Mbangaizaji na Mjasiriamali ambae kwa baadae nitarudi shule ndio maana nataka Mwalimu akiwa kanda ya kati/ziwa itapendeza sana

Wasalaam!!
 
Hello Wanabodi mimi ni Kijana nipo tu nafanya ujasiriamali mdogomdogo kiasi sikosi hela ya kulipa Pango na Kula

Napenda kutafuta Mke awe Mwalimu wa Daraja lolote lile asizidi miaka 25, asiwe mweusi, wala mnene sana, Mkristo itakuwa vizuri hata akiwa Dini nyingine sawa ila akubali kuolewa na asilete Suala la udini

Mimi nina 30, mkristo, Mbangaizaji na Mjasiriamali ambae kwa baadae nitarudi shule ndio maana nataka Mwalimu akiwa kanda ya kati/ziwa itapendeza sana

Wasalaam!!
Mmezidi kuwaonea walimu mkomeee nyie wabangaizaji..
 
Kuna ubaya kuwa Mbangaizaji na Mjasiriamali
Hakuna ubaya Jombii sema kuna ukakasi chagua lugha moja hapo kaka kabla ya wabobevu hawajafika.

hahahaha, mwanangu unataka mwalimu ili awe collateral? Hahahaja wameamka siku hizi hawataki wabangaizaji wanataka wanaume walio stable, take it easy hatuwezi kuwa serious kwenye kila thread... kwanini mzee usiseme kwanzia atleast 28s -30s mlingane huoni utasumbuka kulea utoto kidogo au maturity kwako sio kesi???

Mwanangu kaza sana, walimu wanataka mwanaume mwenye sifa kama zako, ila jikaze mzee usije uka waangusha watoto za watu.
 
Nenda Dodoma, pale sekretarieti ya ajira,wanaokuja kuchukua barua za kazi,za kupeleka walikopangiwa,wadake.
 
Hakuna ubaya Jombii sema kuna ukakasi chagua l
Hakuna ubaya Jombii sema kuna ukakasi chagua lugha moja hapo kaka kabla ya wabobevu hawajafika.

hahahaha, mwanangu unataka mwalimu ili awe collateral? Hahahaja wameamka siku hizi hawataki wabangaizaji wanataka wanaume walio stable, take it easy hatuwezi kuwa serious kwenye kila thread... kwanini mzee usiseme kwanzia atleast 28s -30s mlingane huoni utasumbuka kulea utoto kidogo au maturity kwako sio kesi???

Mwanangu kaza sana, walimu wanataka mwanaume mwenye sifa kama zako, ila jikaze mzee usije uka waangusha watoto za watu.

ugha moja hapo kaka kabla ya wabobevu hawajafika.

hahahaha, mwanangu unataka mwalimu ili awe collateral? Hahahaja wameamka siku hizi hawataki wabangaizaji wanataka wanaume walio stable, take it easy hatuwezi kuwa serious kwenye kila thread... kwanini mzee usiseme kwanzia atleast 28s -30s mlingane huoni utasumbuka kulea utoto kidogo au maturity kwako sio kesi???

Mwanangu kaza sana, walimu wanataka mwanaume mwenye sifa kama zako, ila jikaze mzee usije uka waangusha watoto za watu.
Sifa
Nenda NETO mkuu wamejaa
Wameunga mkono Juhudi Chama kama kimeshakufa
 
Hakuna ubaya Jombii sema kuna ukakasi chagua lugha moja hapo kaka kabla ya wabobevu hawajafika.

hahahaha, mwanangu unataka mwalimu ili awe collateral? Hahahaja wameamka siku hizi hawataki wabangaizaji wanataka wanaume walio stable, take it easy hatuwezi kuwa serious kwenye kila thread... kwanini mzee usiseme kwanzia atleast 28s -30s mlingane huoni utasumbuka kulea utoto kidogo au maturity kwako sio kesi???

Mwanangu kaza sana, walimu wanataka mwanaume mwenye sifa kama zako, ila jikaze mzee usije uka waangusha watoto za watu.
Ushauri wako nimeupokea afu Mwanangu unaonekana mtu wa Mfumo sana, huna Mwalimu unaefahamiana nae hapo
 
Kichwa chako kina nin mpaka akivumilie
Hivi unafikiri walimu wote ni wavumilivu???🤣😅
Asilimia kubwa wavumilivu kama unasoma kwanguvu hii ndio Aa Aaa aaaaaa ina mkia mfupi hadi wanaelewa naamini atanielekeza hadi kichwa kotatulia tu mimi ni msumbufu sana
 
Back
Top Bottom