nina dhamira ya kweli na
heshima kubwa natafuta mke awe na umri wa kuanzia miaka 40 na
kuendelea,yule mwanamke mwenye dhamira ya kweli na heshima zake karibu
sana!!mimi nina miaka 43.
daah ngoja nijiachie kwa huyu mzee maana vijana utata mtupu! hapa hukosi kuishi ghorofani
ahahahahah.... ndo mtakapobanana kwenye kavitz kako
Alikuwa hajasema mwanzo
Ngoja nitume PM fasta