Mke wangu kaunga haji huku chit chat..sasa nikija huku nakosa huduma ..sasa Nimeona niongeze mke wa huku chit chat tu...nakaribisha maombi now..nibebe mzigo..
kha mkuu watajaza pm nkajua na wewe kama yule jamaa eti asiwe ameliwa mtandao pia mwenye uwezo wa feza na asiwe mlevi au kuwai kutoa mimba kimoyomoyo nkasema labda amuumbe wake. Ok mkuu pambana utapata tu wapo humu.