Tena waambie nitakayempenda ndio anakuwa boss lady humu. Sasa kazi ya wadada kunipetpet miye dada binamu ndio nitapitia CV .
CC: Warembo wote JF.
Ukaguzi kwanza Halafu ndo interview
Niseme tu confidence yako inani impress...
I hope baada ya ukaguzi kutakuwa na practical interviews ndio ifuate oral...right?
Fursa za u firstlady adimu hizi. We muulize Heaven on Earth au qn of sheba wakwambie
Hii title unaitendea haki itabidi niongeze posho za shopping..ili atakaeshinda afurahie haswa
Mpaka sasa umewaacha wenzio kwa point..I hope una passport ready..mshindi nampeleka honeymoon Brazil tuangalie world cup live
We zubaa wenzio wanakamata fursa
Dah mie na ww najua tutakutana maeneo ganii!!! Ngoja niwaachie tu wa humu nao wafaidiii
We si uliniambia una bikira? Sasa fursa ndo hii