all the best...
Ukaguzi kwanza Halafu ndo interview
We nisha ku disqualify moja kwa moja..endelea na kaizer pm hapa muache jukwaa kwa wenzio wenye kuhitaji hii fursa.
usivuruge zoezi ..anzisha ya kwako hapa nimekaribisha wadada tu...you are not invited
We Tuma maombi..why shauri yangu?
Fursa za u firstlady adimu hizi. We muulize Heaven on Earth au qn of sheba wakwambie