Natafuta mke lakini uume wangu mkubwa

Hahaha bwana weeh, kuna kauteuzi kalinipitia hapa kakaniweka busy. Ila sasa niko poa manake nimetumbuliwa.

Uwe na amani mpendwa. Asante kwa kuniwazia.
Amen kubwa mpendwa, nimejiuliza maswali mengi sana juu yako kuwa nini kilikupata?
Hebu usipotee hivi mpendwa, si wajua kila magufuli na makonda wake?
 
Laiti kama kuna vitu tungeweza kupunguziana.....ningekupm unipunguzie 2 inches angalau niwe 4
Castr pole sana hii nahisi mara ya pili nakusoma kuhusu hii hali

wala usiwe na wasi sio wanawake wote wanaopenda madude makubwa usiwaze kabisa
 
Habari za usiku wana jamvi
Rejea kichwa cha habari
Nmekuwa na uume mkubwa sana unakaribia nchi 10 ambayo na vigum kupata mwanamke wote wananiacha wakidai wanaumia wakati wa kujamiana kwhyo mnisaidie kwa wale madada weny uke mrefu asante
Tafuta wa saizi yako utapata (as per picture below). Ukibahatisha kupata hiyo namba 4 bila shaka haitakuwa na shida. Kila mguu na saizi yake ya kiatu mkuu. Usikate tamaa!!!
 
Mkuu mbona hilo tatizo dogo nenda hospitali watakupa bangiri hao vimwana wako watakuwa wanajiwekea bangiri kwa size wanayo taka.
 
Laiti kama kuna vitu tungeweza kupunguziana.....ningekupm unipunguzie 2 inches angalau niwe 4
Hizo 2 ulizinazo si unagusa mashavu tu ndg yangu!
Mara nyingine dunia haiko fea
 
Nimeteuliwa kanisa la ufufuo na uzima. Karibu kwa ibada kesho, kuna wasanii watatuburudisha pia
Asante kwa mwaliko, naogopa Bashite a.k a mr zero (O) anaweza kuvamia na jamaa wa makirikiri
 
Kwanini nawe unataka kuingiza dushelele lote Mkuu? Unatakiwa umpimie saizi yake akisema hapo hapo basi huingizi tena lakini hii ya kutaka kuzamisha dushe lote ni hatari sana utahamisha internal organs na hata kizazi pia.


Tatizo vijana wetu wana dhana vichwani mwao kuwa kugegeda ni kukomoana.
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…