Natafuta mke mcha mungu

Natafuta mke mcha mungu

big IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2012
Posts
491
Reaction score
892
Mimi ni kijana mwenye miaka 29 natafuta mke mcha mungu awe maji ya kunde,msafi awe anajua mambo flan kitandan na awe tayar kulamba pipi.ANGALIZO wa Tanga wana kipaumbele.karibun sana wapendwa..
 
kama ni mcha mungu kweli atakwambia huo ujuzi wa kulamba pipi aliutoa wapi?
 
Dini gani hiyo ya ucha mungu? halafu na wewe uko tayari kwenda chumvini? Haya mapenzi ya lambalamba mmmh kazi
 
Mh!
Mcha Mungu,afu awe mtaalamu wa hayo makitu,
awe anajua kulamba pipi!!!
Unajielewa kweli wewe?
Hao kawatafute baa au klabu za usiku!
 
kaka, mcha Mungu anatafutwa kwa Mungu,sio kwa JF! Halafu kwenye maisha huwezi pata vyote. Ukitaka mcha Mungu, tegemea kukosa hayo mauzauza yako, ukiyataka nenda sehemu fulani pale mitaa ya usiku, utawapata wa maji ya kunde wengi, uchague hapo mmoja, muombe awe mkeo.
 
Jamani hivi kwani mtu hawezi kuwa mchamungu na akawa anayaweza majambo pia? Dini gani inakataza 'kulamba pipi'?
 
Mimi ni kijana mwenye miaka 29 natafuta mke mcha mungu awe maji ya kunde,msafi awe anajua mambo flan kitandan na awe tayar kulamba pipi.ANGALIZO wa Tanga wana kipaumbele.karibun sana wapendwa..

mtenda maovu siku zote huwa hajitambui na kwa hali hii usitegemee kupata mke mwema pepo limeshakunyemelea ndio maana unawaza anaejua mambo ya kitandani badala ya kuomba upate mke mwenye fikira nzuri eti awe tayari kulamba mke gani wa kuwa analamba pipi mambo ya umalaya uyaingize hadi kwenye ndoa nenda sehemu wanakojiuza ndipo utayapata unayoyataka
 
Pole sana. huyo kumpata na sifa hizo zoooote utampata kwenye MADANGURO, ndo kuna huo uchafu kasoro ucha mungu
 
Mimi ni kijana mwenye miaka 29 natafuta mke mcha mungu awe maji ya kunde,msafi awe anajua mambo flan kitandan na awe tayar kulamba pipi.ANGALIZO wa Tanga wana kipaumbele.karibun sana wapendwa..
Inshallah utampata kama nia yako safi kweli na wewe pia mcha Mungu,hakuna kubwa kwamuweza...
 
Back
Top Bottom