Natafuta Mke mnene

Usimkatishe tamaa

Father anatafuta mke wa kumliwaza tena amesema kuanzia 40 kuendelea yaani anatafuta anayeendana nae

Si ajabu father alichwa, alifiwa

Hivyo anatafuta wa kufarijiana nae ..

Mpeni moyo father
Malizia kabisa na wa kumuachia mafao yoootee aliyovuna ujanani.
 
nahitaji mke aliye mnene na mkweli pamoja na mapenZi ya kweli[emoji848][emoji2827]
Anaogopa heka heka za wanawake. Mara nyingi wanawake wanene hawana mambo mengi , sio wagomvi , sio watata, hata ukiwadanganya wenyewe wanaamini tu hawachoshi akili kuchuja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…