Natafuta Mke mnene

Mimi nipo dar na nahitaji mke aliye mnene na mkweli pamoja na mapenzi ya kweli. Nipo Dar na umri wangu miaka 54 na umri wa mke usiZidi miaka 50 sina tatizo la dini wàla kabila na tuwasiliane kwa namba 0717667348
Mkuu yaani mtu aje tu kama kunguru we kikongwe...... yaani hajui una kazi unafanya nini ...aje tu kienyeji enyeji hata picha hakuna .....asee kikongwe nenda hata dating app huko utapata mzigo kiulaini tu....hapa huwezi pata maana hujaweka taarifa za kutosha kwenywe dating site huko utaonana na vikongwe kibao nao wanatafuta wanaume vikongwe.....

Hapa umeandika kienyeji sana .....wazee kama nyinyi ni tunu ya taifa....wahi dating site upate mkeo wako ...mzee wangu
 
😂😂😂😂 babu zoazoa kha!!
Tutakunyonya damu wajukuu shauri zako
itabidi na mimi nijitose kujinyakulia mulimbwende kama mzee mwenzangu 😂 kaona mmh sio kweli upweke bin upwiru ni mateso mwanawane
 
itabidi na mimi nijitose kujinyakulia mulimbwende kama mzee mwenzangu 😂 kaona mmh sio kweli upweke bin upwiru ni mateso mwanawane
😂😂😂😂 babu umeanza umbea, haya mzee mwenzio yupi??
 
Kuna kufiwa,
Kuna kuachwa (Divorce)
Kuna kutelekezwa (dragged)
Tusikariri maisha kama Kasuku!
Umeelewa nilichokiongelea kweli Mkuu?. Haishangazi kwa umri huo kutafuta mke ila inashangaza kwa umri huo kutafuta mke kwa namna hii.
 
Washabeep huko. We huoni hata Hamna post ya muendelezo?
 
😂😂😂😂 babu umeanza umbea, haya mzee mwenzio yupi??
Mleta uzi mzee mwenzangu bwana Kaiddik huoni anataka tukunyama lake akachezee bucha 😆. Ila babu mimi ni sabuni ya zoazoa sibagui sichagui anayekalia mgongo sawaaa anayekalia makalio sawaaa
 
La haula wala kuwata
Hii ni baada ya kusikia kuwa wanene wana maku ndogo na wewe ni team Kiba.
 
Naona wazee mmechachamaa. Uliyekula naye ujana yuko wapi? 😎
 
Wanawake wa bongo akifika 40 automatic anajinenepea hovyo,kwahiyo mleta mada usihofu wamejaa tele.
 
Acha u-much know Senior member,
Kumbuka kuna mengi ya dunia, kufiwa!! kuachwa etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…