ubarikiwe maana nngeenda PM nikaogopaKujiweza kiuchumi ndio kukoje kwa mwanamke, sisi tunawaoa na kuwahudumia
kwani ukoje?Huu mwili nae ushanikosesha mume
Interestingubarikiwe maana nngeenda PM nikaogopa
Mwanamke anayejishuhulisha hayo mengine ni mtazamo wako....Kujiweza kiuchumi ndio kukoje kwa mwanamke, sisi tunawaoa na kuwahudumia
Very interesting, Ramadhan kareemInteresting
Nahitaji Mke
Sifa awe na degree ya pharmacy
Awe na umri wa kuanzia 30 – 37
Akiwa Muislam itakuwa poa zaidi
Awe anajitambua
Nimeweka hiyo sifa kwa kuwa natamani ahudumie watu upande huo hivyo nitamwezesha kutimiza hiyo ndoto
Mengine tutaongea DM.
Rudi shule nduguWenye D mbili tumetengwa 😀
😂😂KWakweli nirudi shuleRudi shule ndugu