Shida ni wanachama wa ccm😂😂Sio hawa walimu wa sasa!
Nenda tule pilau mwaka huuKila la kheri
Naona walimu wanapanda chat sana siku iziNina miaka 30, nimeajiliwa na kipato namshukuru Mungu kipo fresh.
Naishi Dar es Salaam. Sina mtoto, dini mkristo. Urefu 6'2, maji ya kunde.
Natafuta mke, awe mwalimu, regardless chekechea, primary, secondary au chuo, awe ni mwalimu tu.
Kwanini Mwalimu?, well, ni sababu ni mwanamke wa ndoto zangu, naamini Mwalimu ni mzazi na mlezi bora na walimu wengi wako unique ndani ya ndoa.
Awe na umri wa miaka 25 kushuka chini, awe mweupe, asiwe na mtoto.
Mwalimu!!! muoaji nimepatikana.
Huu mwak mgumu sana labda mwak mwingine😀 akihitaji wakulima nitaendaNenda tule pilau mwaka huu
Mkulima utanifaa Mimi,vuli hiyoo ,nikuchukue mapema tuHuu mwak mgumu sana labda mwak mwingine😀 akihitaji wakulima nitaenda
[emoji1][emoji1]Shida ni wanachama wa ccm[emoji23][emoji23]
Hahahahahahaha daaah nimecheka sana. we jamaa ni mwehu sana.View attachment 2737825
Huyu angefaa... shida ni mweusi.. bit still ni mwalimu...
Acha kujidanganya we jamaa!!Nina miaka 30, nimeajiliwa na kipato namshukuru Mungu kipo fresh.
Naishi Dar es Salaam. Sina mtoto, dini mkristo. Urefu 6'2, maji ya kunde.
Natafuta mke, awe mwalimu, regardless chekechea, primary, secondary au chuo, awe ni mwalimu tu.
Kwanini Mwalimu?, well, ni sababu ni mwanamke wa ndoto zangu, naamini Mwalimu ni mzazi na mlezi bora na walimu wengi wako unique ndani ya ndoa.
Awe na umri wa miaka 25 kushuka chini, awe mweupe, asiwe na mtoto.
Mwalimu!!! muoaji nimepatikana.