Natafuta mke mwema - Muislam

Nenda msikitini,unaoa hata Leo,
 
Mkuu nipo tayari ila nina talaka 2,nina makovu miguuni,stretch mark tumboni halafu nina kitambi cha haja kidogo[emoji849]
.
Miaka yangu 28..vipi naweza kukufaa?!hizo sifa zingine zote ninazo ila changamoto ni hiyo[emoji27][emoji27]
 
Mkuu nipo tayari ila nina talaka 2,nina makovu miguuni,stretch mark tumboni halafu nina kitambi cha haja kidogo[emoji849]
.
Miaka yangu 28..vipi naweza kukufaa?!hizo sifa zingine zote ninazo ila changamoto ni hiyo[emoji27][emoji27]
Nashukuru sana
 
Mkuu nipo tayari ila nina talaka 2,nina makovu miguuni,stretch mark tumboni halafu nina kitambi cha haja kidogo[emoji849]
.
Miaka yangu 28..vipi naweza kukufaa?!hizo sifa zingine zote ninazo ila changamoto ni hiyo[emoji27][emoji27]

Wewe itakua unanfaa mimi
 
Kupata mwanamke nikazi sasa ivi maana kalibia wote ni wa kichina kuanzia tabia,rangi ya mwili,na viungo vya mwili vingine mpka bikira ya kichina
 
Mtafute Ustaadhat Miss Natafuta au @everlynsalt watakufaa sana
 
Demiss unaitwa huku kuna nafasi yako hapa naona utafaa hapa uache kudanga danga Na mchimba mizizi wako mwisho akuweke msukule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…