bachelor sugu
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,689
- 3,646
- Thread starter
-
- #21
We kwenye avatar hapo urembo wote huo hujaridhika?au unataka nn tena?Kweli haki tena vigezo vyote kasoro cha urembo hiko sinaaaa
Huyo sio Mimi uuuwiii ndo maana mnaendaga kuwakimbia wanawake kwa kuwaangalia kwa avatar kumbe ndivyo sivyoWe kwenye avatar hapo urembo wote huo hujaridhika?au unataka nn tena?
Ni nani huyo kwani?Huyo sio Mimi uuuwiii ndo maana mnaendaga kuwakimbia wanawake kwa kuwaangalia kwa avatar kumbe ndivyo sivyo
Uzuri unazaliwa nao ila urembo unatafutwa.....Yajenge na best yangu huyu uwe wifi yangu. (Mambo ya urembo ni pesa yake tu)Wooooyiiiiiii vigezo vyote ninavyo kasoro hapo kwenye urembo doooh ndoa imeshanikosa hii la haula [emoji134] [emoji134]
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Uzuri unazaliwa nao ila urembo unatafutwa.....Yajenge na best yangu huyu uwe wifi yangu. (Mambo ya urembo ni pesa yake tu)
Mh!!!Uzuri unazaliwa nao ila urembo unatafutwa.....Yajenge na best yangu huyu uwe wifi yangu. (Mambo ya urembo ni pesa yake tu)
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Bila shaka ushauri wangu umekubalika....nasubiri mrejesho toka kwenu[emoji4] [emoji4] [emoji5]Mh!!!
Mi ninavyo vyote G keshaniwahi [emoji23][emoji23][emoji23]Huyo sio Mimi uuuwiii ndo maana mnaendaga kuwakimbia wanawake kwa kuwaangalia kwa avatar kumbe ndivyo sivyo
HahahahaBila shaka ushauri wangu umekubalika....nasubiri mrejesho toka kwenu[emoji4] [emoji4] [emoji5]
Vipi mshaanza kuyajenga? [emoji12]Hahahaha
AkuuuuVipi mshaanza kuyajenga? [emoji12]
Kwani kashakuoa?kama hajakuoa anapinduliwa tuMi ninavyo vyote G keshaniwahi [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwann mkuuWaislamu huwa wananifurahisha sana likija suala la kuoa.[emoji3]
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Akuuuu
Sasa naishi nae si ndoa hiyo tayariKwani kashakuoa?kama hajakuoa anapinduliwa tu
Thad nimekuomba unibembelezee huyu ndege aje huku umekazana mshaanza kuyajenga,umemleta?[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Tena mkitimiza miaka miwili kiserikali ni ndoa halaliSasa naishi nae si ndoa hiyo tayari
Sio miezi 3 tu [emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]Tena mkitimiza miaka miwili kiserikali ni ndoa halali
Njoo nikuoe....Akuuuu