Natafuta mke mwema

sambara

Member
Joined
Apr 24, 2013
Posts
17
Reaction score
3
Je, wewe ni binti unayependa kuwa na maisha ya familia yanayompendeza Mungu? endelea kumcha Mungu
 
Taja mali ulizonazo zisizo hamishika
 
Mtafute Bonny Mwaitege atakuambia yupo wapi.
 
yatakuwa ni mazungumzo baada ya khabari

Pacha huyu kijana anakufaa kwelikweli, namfahamu vizuri. ana mali nyingi zisizohamishika kama:
1. Nyumba ya ulithi
2. Shamba hekali ishirini liko kigoma
3. Pia ana nguruwe wengi sana huko zanzibar
sema nae basi
 
pacha huyu kijana anakufaa kwelikweli, namfahamu vizuri. Ana mali nyingi zisizohamishika kama:
1. Nyumba ya ulithi
2. Shamba hekali ishirini liko kigoma
3. Pia ana nguruwe wengi sana huko zanzibar
sema nae basi
nononono ana shingapi benk ana master kadi pacha??
 
nononono ana shingapi benk ana master kadi pacha??

Kuhusu pesa alizonazo si fahamu ila ninachojua anatembea na pochi tatu
1. Inakuwa na USD
2. Inakuwa na Pound
3. Inakuwa na TZS
halafu anamuuliza binti unataka tutumie pochi ipi?
 
kuhusu pesa alizonazo si fahamu ila ninachojua anatembea na pochi tatu
1. Inakuwa na usd
2. Inakuwa na pound
3. Inakuwa na tzs
halafu anamuuliza binti unataka tutumie pochi ipi?
simtaki ni mshamba kama anatembea na hela mkononi
 
Huyu hapa ni binamu yangu, yupo ziwa victoria, anataka kuogelea: Tuwasiliane 0712xxx000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…