Taja sifa zako, unaweza ukabahatika kuwa nyumba ndogo..Nishakosa sifa! mie sio mrembo.
Taja mali ulizonazo zisizo hamishika
Taja mali ulizonazo zisizo hamishika
yatakuwa ni mazungumzo baada ya khabariakizitaja itakuwaje?
hivi nivea hujapata?Taja mali ulizonazo zisizo hamishika
mimi nshapata sema nawafumbua macho ambao bado wanatafutahivi nivea hujapata?
yatakuwa ni mazungumzo baada ya khabari
nononono ana shingapi benk ana master kadi pacha??pacha huyu kijana anakufaa kwelikweli, namfahamu vizuri. Ana mali nyingi zisizohamishika kama:
1. Nyumba ya ulithi
2. Shamba hekali ishirini liko kigoma
3. Pia ana nguruwe wengi sana huko zanzibar
sema nae basi
nononono ana shingapi benk ana master kadi pacha??
simtaki ni mshamba kama anatembea na hela mkononikuhusu pesa alizonazo si fahamu ila ninachojua anatembea na pochi tatu
1. Inakuwa na usd
2. Inakuwa na pound
3. Inakuwa na tzs
halafu anamuuliza binti unataka tutumie pochi ipi?