Natafuta Mke mwenye miaka zaidi ya 30

FourSix

Member
Joined
Jun 5, 2021
Posts
12
Reaction score
13
Nawasalimu Kwa Jina La Jamhuri Ya Muungano. Nami nitumie Fursa ya Jukwa Hili Kutafuta Nimpendaye,

Wasifu Wangu:
Elimu Ya Chuo
Single Father,
Miaka 41
Naishi DSM
Mfanyakazi & Biashara
Mkristo, KKKT
Mfupi Kiasi, Mweusi &Mnene Kiasi.

Wasifu Wa Mtarajiwa:

Miaka 30 +
Kabila Lolote
Dini Yoyote
Elimu Yoyote
Asiwe na mtoto
Mfupi na Mnene Wastani
Awe Anaishi Dar Es Salaam Pia

Kwa Atakayekuwa Tayari Tuwasiliane PM
 
 
Nipo hapa, siyo mfupi ila ukiniona utanipenda
 
Nimeona ombi lako nami ninavigezo hivyo tuwasiliane dorahkilale@gmail.com
 
Nazidi kupitwa punguzeni masharti basi nami niolewe
 
Hello unaweza kuwasiliana nami neemamutembei@gmail.com
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…