Natafuta mke mwenye sifa hizi (naomba tuweke utani pembeni katika mambo muhimu ya maisha)

Natafuta mke mwenye sifa hizi (naomba tuweke utani pembeni katika mambo muhimu ya maisha)

blaszkowski

Member
Joined
Jan 11, 2013
Posts
43
Reaction score
10
HAWE NA SIFA ZIFUATAZO:
1. Awe anapenda mziki na movie not africa magic
2. Awe anapenda kutoka out night siku moja moja
3. Awe sio mweusi, sio mnene na sio mwembaba sana (matiti madogo na ---- la wastan)
4. Awe amemaliza frm six na kufaulu + elimu ya juu kuanzia stashahada
5. Awe anafanya kazi na anaishi dar
6. Awe anapenda ucheshi na mkarimu (ant stress)
7. Awe anapenda kujiendeleza na ana uchungu wa maendeleo
8. Awe anauwezo wa kujiongoza na kuongoza familia
9. Awe anapenda kufanya mazoezi na sio mvivu
10. AWE SIO MALAYA
11. Awe anamuogopa na kumueshimu Mungu
12. Option: awe na sauti nzuri na anapenda sports
13. Awe na ufahamu wa tekohama na digitali kwa ujumla
14. Awe chini ya miaka 27
 
Hehehe

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom