Natafuta mke mwenye sifa hizi (naomba tuweke utani pembeni katika mambo muhimu ya maisha)

Mi ninazo zote n the gud thing is I can also read your mind...
I have all cresdentials including the ones u didn't mention in this post.

BUT .. Nahitaji udondoshe hapa za kwako pia ili nsije anguka ktk mikono ya robot.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 

Hapa labda umuumbe mwenyewe, hakuna mdada wa hivyo duniani!!
 
yani huna haja ya kutafuta tena mke umeshanipata..sifa zote ninazo ila mimi ni cococolour
 

Good kama unazo zangu nimesha ziweka wew ndio uweke zako dear
 
Kama katika taifa lenye idadi ya watu millioni 44 hakuna mdada
Mwenye sifa hizi ni hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…