Alitaka kumaanisha kuwa mission yake amekamilishaTaked!!!???ndio nn?
Alitaka kumaanisha kuwa mission yake amekamilisha
Amemaanisha past tense ya take, yaani ameshapata wa kumchukuwa, angechukuliwa. Umeelewa Sasa Numbisa?Taked!!!???ndio nn?
Amemaanisha past tense ya take, yaani ameshapata wa kumchukuwa, angechukuliwa. Umeelewa Sasa Numbisa?
Taken