ufumawicha
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 504
- 209
Kirahisi hivyo?Mimi umri wangu ni miaka 40.Nilikuwa masomoni nje ya nchi.Natafuta mke niliwahi kuwa na mahusiano na nina watoto wawili na ninawapenda sana.Aliya tayari anipm.Dini yangu mkristo.Mke awe mkristo.Umri wa mke kuanzia 25 ila umbile liwe la ki utu uzima!!!
SIJASHINDWA KUFANYA HIVYO.LAKINI HOUSEGIRL WA MIAKA 25,UTAMPATA WAPI?NA SIKUFICHI NIKO SERIOUS KWENYE HILO.Kirahisi hivyo?
Tafuta house girl... Kaa naye miezi sita... Moja Kwa Moja atakuwa mke na atakuongozea mtoto mmoja
Utapata mwaya achana na wazinguaji hawaMimi umri wangu ni miaka 40.Nilikuwa masomoni nje ya nchi.Natafuta mke niliwahi kuwa na mahusiano na nina watoto wawili na ninawapenda sana.Aliya tayari anipm.Dini yangu mkristo.Mke awe mkristo.Umri wa mke kuanzia 25 ila umbile liwe la ki utu uzima!!!
Wapo ni PM namba nikuunganishieSIJASHINDWA KUFANYA HIVYO.LAKINI HOUSEGIRL WA MIAKA 25,UTAMPATA WAPI?NA SIKUFICHI NIKO SERIOUS KWENYE HILO.
Elewa mada ndugu.Mwanamke niliyemzalisha watoto hao ni mmoja.Alichoshwa na mimi kutumia muda mwingi masomoni!!!!Sisi wanaume bana,,,,,!!!! Sasa si ukawaoe wale wale uliowazalisha mkuu?? Ebu fanya kuwahurumia uliowazalisha maana siku hizi hatuoi walio kwisha Zaa.
Sasa masomo si umamliza ndio umuoe tena mlee watoto wenu. Kama kuna uwezekano wa kumuoa huyo matoto wako bora muoe, akina dada hawa waliomaliza university kukaa na watoto wa mtu mwingine mh sisemiElewa mada ndugu.Mwanamke niliyemzalisha watoto hao ni mmoja.Alichoshwa na mimi kutumia muda mwingi masomoni!!!!
yeye penzi kwangu lilishachuja.Ananiona kama ni kama nimezeeka.Kumbuka muda wote huu nilikuwa nawatunza kwa gharama zangu.Kiufupi hata nikioa sihitji watoto wengi.Ninao wawili NITAONGEZA WAWILI kwa mke mpya na basi.S
Sasa masomo si umamliza ndio umuoe tena mlee watoto wenu. Kama kuna uwezekano wa kumuoa huyo matoto wako bora muoe, akina dada hawa waliomaliza university kukaa na watoto wa mtu mwingine mh sisemi
Dah... Lakini umemaliza sasa....kwanini usimwite mkaendeleza pale mlipoishia? [emoji13] [emoji13]Elewa mada ndugu.Mwanamke niliyemzalisha watoto hao ni mmoja.Alichoshwa na mimi kutumia muda mwingi masomoni!!!!
Cc Miss Natafuta [emoji12]yeye penzi kwangu lilishachuja.Ananiona kama ni kama nimezeeka.Kumbuka muda wote huu nilikuwa nawatunza kwa gharama zangu.Kiufupi hata nikioa sihitji watoto wengi.Ninao wawili NITAONGEZA WAWILI kwa mke mpya na basi.
yeye penzi kwangu lilishachuja.Ananiona kama ni kama nimezeeka.Kumbuka muda wote huu nilikuwa nawatunza kwa gharama zangu.Kiufupi hata nikioa sihitji watoto wengi.Ninao wawili NITAONGEZA WAWILI kwa mke mpya na basi.
Naona haujanielewa,huyu mpenzi wangu wa zamani yeye yuko tofauti na mipango ya kusoma.Pia naona ananiona kama nimezeeka.Nadhani na yeye ni kama ameshawekeza mahali.Dah... Lakini umemaliza sasa....kwanini usimwite mkaendeleza pale mlipoishia? [emoji13] [emoji13]
Dah... Safi Chief.. Songa mbele...hawa ukiwaendekeza sana wanakuchelewesha... Tuko pamoja [emoji13] [emoji13]Naona haujanielewa,huyu mpenzi wangu wa zamani yeye yuko tofauti na mipango ya kusoma.Pia naona ananiona kama nimezeeka.Nadhani na yeye ni kama ameshawekeza mahali.
Nitafute.ninalojibu.Mimi umri wangu ni miaka 40. Nilikuwa masomoni nje ya nchi. Natafuta mke.
Niliwahi kuwa na mahusiano na nina watoto wawili na ninawapenda sana.
Dini yangu mkristo. Mke awe mkristo. Umri wa mke kuanzia 25 ila umbile liwe la ki utu uzima!
Aliye tayari aniPM.
jana niliota nimeingia jf nikakuta mtu anatafuta mke nikapm tukaoana eti nina umbile na kitu uzima kabisa usijali kilo 98 sio mchezo hebu ni pm mkuu tuoane zetu hata kama umetokea bulgariaMimi umri wangu ni miaka 40. Nilikuwa masomoni nje ya nchi. Natafuta mke.
Niliwahi kuwa na mahusiano na nina watoto wawili na ninawapenda sana.
Dini yangu mkristo. Mke awe mkristo. Umri wa mke kuanzia 25 ila umbile liwe la ki utu uzima!
Aliye tayari aniPM.
asantkunasehemu umekosea katika maisha yako,. hapo hutapa mwanamke atakaye kupenda utapata mwizi tu. mtafute uliyezaa naye
ahahaa naona mkuu umedhamiria kuniozesha mwaka huu maana hakuna sehemu huniiti ngoja nipm huyu jiandae kupokea mahariCc Miss Natafuta [emoji12]
mkuu nani mwizi hapa?kunasehemu umekosea katika maisha yako,. hapo hutapa mwanamke atakaye kupenda utapata mwizi tu. mtafute uliyezaa naye