Natafuta mke mzuri wa tabia na awe tayari kupima vvu!

Natafuta mke mzuri wa tabia na awe tayari kupima vvu!

Fagason

Senior Member
Joined
Jun 14, 2013
Posts
175
Reaction score
19
Mimi ni kijana wa KITANZANIA MIAKA 34,NIMEJIAJIRI ,mrefu na mweusi tii!unene wa wastani,mchumba nimtakae angalau awe n sifa zifuatazo:Elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea pia umri wake uwe kuanzia miaka 20 na kuendelea mpaka 30,awe mchangamfu,rangi ya chungwa au maji ya kunde au mweusi kama mimi sawa,awe mkweli ,asiwe tapeli wa mapenzi awe serious na mahusiano,pia awe mkristo,mrefu wastani.Kwa atakayekuwa tayari tafdhali aniPm,nitajibu sms zote na kama utaona kimya basi ujue bahati imeenda kwa mwenzio!
 
Mimi ni kijana wa KITANZANIA MIAKA 34,NIMEJIAJIRI ,mrefu na mweusi tii!unene wa wastani,mchumba nimtakae angalau awe n sifa zifuatazo:Elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea pia umri wake uwe kuanzia miaka 20 na kuendelea mpaka 30,awe mchangamfu,rangi ya chungwa au maji ya kunde au mweusi kama mimi sawa,awe mkweli ,asiwe tapeli wa mapenzi awe serious na mahusiano,pia awe mkristo,mrefu wastani.Kwa atakayekuwa tayari tafdhali aniPm,nitajibu sms zote na kama utaona kimya basi ujue bahati imeenda kwa mwenzio!

Nenda kwa mzee wa upako!
 
awe mweupe,maji ya kunde au rangi ya chungwa au mweusi... hueleweki unataka nini.
kama vipi si useme rangi yoyote? unanichanganya nipo kwenye list au vipi
 
smile mbona hujiamin,inawezekana upo au unaogopa kupima?
 
ladykim nipo makini co kama wengine,adi natangaza tupime uamini tu
 
nataka wa jm apa apa nitapata co adi kwa mzee wa upako
 
whiteman wa mtaani apana,hawako makini ndoaa inabidi wote msijuane sana,c unajua dharau
 
duuu!hapo kwenye kupima sasa ndo issue!
 
Mimi ni kijana wa KITANZANIA MIAKA 34,NIMEJIAJIRI ,mrefu na mweusi tii!unene wa wastani,mchumba nimtakae angalau awe n sifa zifuatazo:Elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea pia umri wake uwe kuanzia miaka 20 na kuendelea mpaka 30,awe mchangamfu,rangi ya chungwa au maji ya kunde au mweusi kama mimi sawa,awe mkweli ,asiwe tapeli wa mapenzi awe serious na mahusiano,pia awe mkristo,mrefu wastani.Kwa atakayekuwa tayari tafdhali aniPm,nitajibu sms zote na kama utaona kimya basi ujue bahati imeenda kwa mwenzio!

Dah, Umri umeniangusha nilikuwa nishapata mchumba jamani.
 
Back
Top Bottom