Sawa mkuu,Mkuu we ushavuta jiko!?,tupeane tips๐๐sawa mkuu Kila la heri
Duh advance wakati hapa natakiwa niwe nasomea doctorate kama ningeendelea na chuowalau akifika 38 ndo aanze kuwaza waza kidogo๐๐
wenzio rika ilo wapo advnce
๐๐walau akifika 38 ndo aanze kuwaza waza kidogo๐๐
wenzio rika ilo wapo advnce
๐คฃ๐๐ ๐คฃ๐๐ ๐คฃ๐ ๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃmkuu umenifurahisha kweliSawa mkuu,Mkuu we ushavuta jiko!?,tupeane tips๐๐
Mustakabhali wangu kabla ya wazazi kutoa ushauri,ilikuwa nikuendelea kuishi bila mwenza bila familia bila ya kutambua hatima ya ndoa ni lini! Lakini baada ya wazazi kuwasilisha mawazo yao chanya,nikaona Ni vyema kubadili mwelekeo.Na sio kupata mwanamke ilimradi bali ambaye atanisaidia majukumu.maana Nina project nyingi sana za kikazi maana milango imefunguliwa Nchi kuingia uchumi wa Kati.mtoa mada nijibu hapa bila wazazi kukumbusha wewe ulikua na mpango/ratiba gani kuhusu kuoa?
uo mpango ndo uufate kama utaki kupotea!
Mkuu unasubiri Nini Sasa au na wewe unataka ufikishe miaka 40 ndo uvutwe mkuu!?๐๐คฃ๐๐ ๐คฃ๐๐ ๐คฃ๐ ๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃmkuu umenifurahisha kweli
Sema mkuu me ni jiko ila bado sijavutwa aisee
๐๐nitavutwa tu mkuuMkuu unasubiri Nini Sasa au na wewe unataka ufikishe miaka 40 ndo uvutwe mkuu!?๐
Fursa hiyo!Mchongo!?, mkuu nakuja pm poa.
๐๐๐AwapiiFursa hiyo!
Ahhh u never know! Ila huu mchakato wa kutafuta wife ulikuwa rahisi Sana enzi za mababu.๐๐๐Awapii
saiv ni mgumu Kila mtu mjuaji mkuuAhhh u never know! Ila huu mchakato wa kutafuta wife ulikuwa rahisi Sana enzi za mababu.
Ah mkuu hizo pisi nimeshazipotea zimekula pesa zangu nyingi sana.saiv ni mgumu Kila mtu mjuaji mkuu
Sasa mkuu we ndo unatafuta au kwa zile pisi ulizonazo ndo unataka uchague 1.
๐ pole mkuu bhs anza upya Sasa mkuuAh mkuu hizo pisi nimeshazipotea zimekula pesa zangu nyingi sana.
Ahsante."tunaliaanza upya" (voice ya yule mbunge famous for this line)๐ pole mkuu bhs anza upya Sasa mkuu
๐ ๐ kweli mkuu Mungu akusaidieAhsante."tunaliaanza upya" (voice ya yule mbunge famous for this line)
Amen๐ ๐ kweli mkuu Mungu akusaidie
Ukiona watoto inatosha, wajukuu ni watoto wa watoto wako nao wayaonwa na wenyeweAhahaha miaka 40 mkuu si sitoona wajukuu
Basi mpe kijana mwezetu 'Connection' atimize lengo.Kila la kheri
Nataka nione na kitukuu ikiwezekana ndio nisime kazi yangu dunia imekwisha! Zamani ilikuwa Raha watu walikua wanaishi miaka 800+ siku hizi kufikisha 60 yenyewe umepitia tundu la sindano!Ukiona watoto inatosha, wajukuu ni watoto wa watoto wako nao wayaonwa na wenyewe