Natafuta mke, umri usizidi miaka 28

Natafuta mke, umri usizidi miaka 28

chigoko

Member
Joined
May 7, 2018
Posts
25
Reaction score
58
Mm niko Mtwara natafuta mke wa kuoa
Dini awe Mkristo
Umri usizidi miaka 28
Awe anatoka Mtwara mjini
Awe anajishughulisha cyo wa kukaa tu nyumban

Elimu yoyote ajue kusoma na kuandika vizuri lakini akiwa na elimu ya secondary na zaidi ni poa zaidi, mengine tutayajenga mbele kwa mbele.
 
Unatafuta kiuno bila mfupa au iyo itakuwa ni sifa ya ziada Mkuu?
 
Sehemu Salama KUTAFUTA NA KUPATA wanawake wazuri wa KUOA NA kulea WATOTO NA KUZAA WATOTO KATIKA MIAKA 200 IJAYO NI CHATO.

KABILA ALIKOTOKA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI – HAKIKA WAMEMALIZA ICE-CREAM YOTE, WANAHAMU YA KUTOA RAIS MWINGINE KWA MIHULA 20 IJAYO.

MAKABILA MENGINE YOTE NDOTO ZA KUTOA URAIS KWENYE MIHULA IJAYO ZIPO KWA ASILIMIA 200- UTAPIGWA JELA LA NJE
 
Back
Top Bottom