jackson kanene
Member
- Jan 7, 2012
- 92
- 27
mm ni kijana wa miaka 28 ni nayo kazi inayoniwezesha kuishi na kuweza kumhudumia m2 mwingine tatizo ni kuwa nahitaji kuoa xaxa but cjui nianzie wapi kwa xaxa coz kila nikihadithiwa masaibu ya ndoa napata shaka kuwa mmoja wao!bt kama unaweza nipa ushauri nitashukuru xana kwani utakuwa umenipa mwanga kijana mwenzio,tatizo ni kuwa cna wazazi i mean yatima naamin wangekuwepo ingekuwa chachu ya kuniongoza'mawasiliano yangu ni 0683127223 au 0754595688 plz mwenye kuguswa na hili naomba hata sms itatosha.
Huna hata wajomba au baba wadogo?
Huna hata mentor wa kimaisha?
Nimekustahi kwa kweli.
Good luck na kutafuta mke mtandaoni.
Ila jifunze kuandika vizuri.
kijana....mimi nakushauri....ukitaka watu wakuone serious.....jitahidi kuwa serious.......utasaidika....
Jestina,uko soo innocent mpaka nimekutamani....
kama humind kutoka na jimama then nitafute,lol....ni good time tu hutajutia...lol,usiwe muoga mwaya ndoa ni kama mambo mengine,unagamble tu if u win okey,if u dont unajitoa fasta lol,mie nimeachika chuo cha tatu na natafuta mume wa nne lol ,ninachoona sio tatizo kumpata umpendaye bali unawamiss wazazi wako,kwa hio pole...kusema ukweli wazazi wanaplay part ndogo sana ktk ndoa zetu if not hawaplay kabisaa.,,,,,,,,,so usijisikie mpweke hawapo kwa sababu hata wangekuwepo ungeoa mtu ambaye unamtaka wewe na ndoa yako ungeiendesha unavyotaka wewe sio wao.
uko soo innocent mpaka nimekutamani....
kama humind kutoka na jimama then nitafute,lol....ni good time tu hutajutia...lol,usiwe muoga mwaya ndoa ni kama mambo mengine,unagamble tu if u win okey,if u dont unajitoa fasta lol,mie nimeachika chuo cha tatu na natafuta mume wa nne lol ,ninachoona sio tatizo kumpata umpendaye bali unawamiss wazazi wako,kwa hio pole...kusema ukweli wazazi wanaplay part ndogo sana ktk ndoa zetu if not hawaplay kabisaa.,,,,,,,,,so usijisikie mpweke hawapo kwa sababu hata wangekuwepo ungeoa mtu ambaye unamtaka wewe na ndoa yako ungeiendesha unavyotaka wewe sio wao.