Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
Waarabu hawaolewi na waswahili vinginevyo uwe rais kama Yahya Jammeh au kibopa kama Mengi. Vinginevyo nenda Uarabuni ujaribu wazo hili uone watakavyokunyongelea mbali. Hujui hawa jamaa ni wabaguzi hakuna duniani? Wao huoa vibinti vyetu vizuri na kuficha watoto wao Arabuni hata kwa hawa waarabu koko wetu hapa nchini.
Ninafuga majini, njoo nikutafutie mwarabu wa kuchovya
Wewe mwarabu? Mbona zinafanana tu, unajihadaa
Waarabu hawaolewi na waswahili vinginevyo uwe rais kama Yahya Jammeh au kibopa kama Mengi. Vinginevyo nenda Uarabuni ujaribu wazo hili uone watakavyokunyongelea mbali. Hujui hawa jamaa ni wabaguzi hakuna duniani? Wao huoa vibinti vyetu vizuri na kuficha watoto wao Arabuni hata kwa hawa waarabu koko wetu hapa nchini.